Skip to content
Zaburi 71:10-11

Zaburi 71:10-11

10
Kwa maana adui zangu wananisengenya, wale wanaonivizia kuniua wafanya hila.
11
Wanasema, “Mungu amemwacha, mkimbilieni mkamkamate, kwani hakuna wa kumwokoa.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options