Skip to content
Zaburi 71:1-3

Zaburi 71:1-3

1
Ee Bwana, nimekukimbilia wewe, usiache nikaaibika kamwe.
2
Kwa haki yako uniponye na kuniokoa, unitegee sikio lako uniokoe.
3
Uwe kwangu mwamba wa kimbilio, mahali nitakapokimbilia kila wakati; toa amri ya kuniokoa, kwa kuwa wewe ni mwamba wangu na ngome yangu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options