Skip to content
Zaburi 7:8-9

Zaburi 7:8-9

8
Bwana na awahukumu kabila za watu. Nihukumu Ee Bwana, kwa kadiri ya haki yangu, kwa kadiri ya uadilifu wangu, Ewe Uliye Juu Sana.
9
Ee Mungu mwenye haki, uchunguzaye mawazo na mioyo, komesha ghasia za waovu na ufanye wenye haki waishi kwa amani.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options