Skip to content
Zaburi 68:5-6

Zaburi 68:5-6

5
Baba wa yatima, mtetezi wa wajane, ni Mungu katika makao yake matakatifu.
6
Mungu huwaweka wapweke katika jamaa, huwaongoza wafungwa wakiimba, bali waasi huishi katika nchi kame.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options