Zaburi 68:11-14
11
Bwana alitangaza neno, waliolitangaza neno hilo walikuwa kundi kubwa:
12
“Wafalme na majeshi walikimbia upesi, watu waliobaki kambini waligawana nyara.
13
Hata ulalapo katikati ya mioto ya kambini, mabawa ya njiwa wangu yamefunikwa kwa fedha, manyoya yake kwa dhahabu ingʼaayo.”
14
Wakati Mwenyezi alipowatawanya wafalme katika nchi, ilikuwa kama theluji iliyoanguka juu ya Salmoni.
Settings