Skip to content
Zaburi 66:11-12

Zaburi 66:11-12

11
Umetuingiza kwenye nyavu na umetubebesha mizigo mizito migongoni mwetu.
12
Uliwaruhusu watu watukalie vichwani, tulipita kwenye moto na kwenye maji, lakini ulituleta kwenye nchi iliyojaa utajiri tele.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options