Gå til innhold
Zaburi 62:3-4

Zaburi 62:3-4

3
Mtamshambulia mtu hata lini? Je, ninyi nyote mtamtupa chini, ukuta huu ulioinama na uzio huu unaotikisika?
4
Walikusudia kikamilifu kumwangusha toka mahali pake pa fahari; wanafurahia uongo. Kwa vinywa vyao hubariki, lakini ndani ya mioyo yao hulaani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options