Skip to content
Zaburi 59:1-2

Zaburi 59:1-2

1
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi. Wakati Sauli alipotuma wapelelezi nyumbani mwa Daudi ili wamuue. Ee Mungu, uniokoe na adui zangu, unilinde kutokana na hao wanaoinuka dhidi yangu.
2
Uniponye na watu watendao mabaya, uniokoe kutokana na wamwagao damu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options