Skip to content
Zaburi 55:6-8

Zaburi 55:6-8

6
Nilisema, “Laiti ningekuwa na mbawa za njiwa! Ningeruka niende mbali kupumzika.
7
Ningalitorokea mbali sana na kukaa jangwani,
8
ningaliharakisha kwenda mahali pa salama, mbali na tufani kali na dhoruba.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options