Skip to content
Zaburi 55:4-8

Zaburi 55:4-8

4
Moyo wangu umejaa uchungu, hofu ya kifo imenishambulia.
5
Woga na kutetemeka vimenizunguka, hofu kuu imenigharikisha.
6
Nilisema, “Laiti ningekuwa na mbawa za njiwa! Ningeruka niende mbali kupumzika.
7
Ningalitorokea mbali sana na kukaa jangwani,
8
ningaliharakisha kwenda mahali pa salama, mbali na tufani kali na dhoruba.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options