Skip to content
Zaburi 55:3-5

Zaburi 55:3-5

3
kwa sauti ya adui, kwa kukaziwa macho na waovu, kwa sababu wananiletea mateso juu yangu na kunitukana kwa hasira zao.
4
Moyo wangu umejaa uchungu, hofu ya kifo imenishambulia.
5
Woga na kutetemeka vimenizunguka, hofu kuu imenigharikisha.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options