Zaburi 55:3-5
3
kwa sauti ya adui, kwa kukaziwa macho na waovu, kwa sababu wananiletea mateso juu yangu na kunitukana kwa hasira zao.
4
Moyo wangu umejaa uchungu, hofu ya kifo imenishambulia.
5
Woga na kutetemeka vimenizunguka, hofu kuu imenigharikisha.