Skip to content
Zaburi 55:1-2

Zaburi 55:1-2

1
Kwa mwimbishaji. Na ala za uimbaji. Utenzi wa Daudi. Ee Mungu, sikiliza maombi yangu, wala usidharau hoja yangu.
2
Nisikie na unijibu. Mawazo yangu yananisumbua na nimehangaishwa
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options