Skip to content
Zaburi 50:1-3

Zaburi 50:1-3

1
Zaburi ya Asafu. Mwenye Nguvu, Mungu, Bwana, asema na kuiita dunia, tangu mawio ya jua hadi mahali pake liendapo kutua.
2
Kutoka Sayuni, penye uzuri mkamilifu, Mungu anaangaza.
3
Mungu wetu anakuja na hatakaa kimya, moto uteketezao unamtangulia, akiwa amezungukwa na tufani kali.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options