Skip to content
Zaburi 5:8-9

Zaburi 5:8-9

8
Niongoze katika haki yako, Ee Bwana, kwa sababu ya adui zangu, nyoosha njia yako mbele yangu.
9
Hakuna neno kinywani mwao linaloweza kuaminika, mioyo yao imejaa maangamizi. Koo lao ni kaburi lililo wazi, kwa ndimi zao, wao hunena udanganyifu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options