Skip to content
Zaburi 46:1-2

Zaburi 46:1-2

1
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora. Mtindo wa alamothi. Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu, msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso.
2
Kwa hiyo hatutaogopa, hata kama dunia ikiondolewa nayo milima ikiangukia moyoni mwa bahari.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options