Skip to content
Zaburi 45:6-7

Zaburi 45:6-7

6
Ee Mungu, kiti chako cha enzi kitadumu milele na milele, fimbo ya utawala wa haki itakuwa fimbo ya utawala wa ufalme wako.
7
Unaipenda haki na kuchukia uovu; kwa hiyo Mungu, Mungu wako, amekuweka juu ya wenzako, kwa kukupaka mafuta ya furaha.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options