Zaburi 45:13-15
13
Utukufu wote una binti mfalme katika chumba chake; vazi lake limefumwa kwa nyuzi za dhahabu.
14
Anaongozwa kwa mfalme, akiwa amevalia mavazi yaliyotariziwa, mabikira wenzake wanamfuata na wanaletwa kwako.
15
Wanaingizwa ndani kwa shangwe na furaha, na kuingia katika jumba la mfalme.