Skip to content
Zaburi 43:1-2

Zaburi 43:1-2

1
Ee Mungu unihukumu, nitetee dhidi ya taifa lisilomcha Mungu, niokoe na watu wadanganyifu na waovu.
2
Wewe ni Mungu ngome yangu. Kwa nini umenikataa? Kwa nini niendelee kuomboleza, nikiwa nimeonewa na adui?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options