Skip to content
Zaburi 42:1-2

Zaburi 42:1-2

1
Kwa mwimbishaji. Utenzi wa wana wa Kora. Kama vile ayala aoneavyo shauku vijito vya maji, ndivyo nafsi yangu ikuoneavyo shauku, Ee Mungu.
2
Nafsi yangu inamwonea Mungu kiu, Mungu aliye hai. Ni lini nitaweza kwenda kukutana na Mungu?
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options