Skip to content
Zaburi 39:4-5

Zaburi 39:4-5

4
“Ee Bwana, nijulishe mwisho wa maisha yangu na hesabu ya siku zangu; nijalie kujua jinsi maisha yangu yanavyopita upesi.
5
Umefanya maisha yangu mafupi kama pumzi; muda wangu wa kuishi ni kama hauna thamani kwako. Maisha ya kila mwanadamu ni kama pumzi.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options