Zaburi 38:8-10
8
Nimedhoofika na kupondwa kabisa, nasononeka kwa maumivu makuu ya moyoni.
9
Ee Bwana, yote ninayoyaonea shauku yako wazi mbele zako, kutamani kwangu sana hakufichiki mbele zako.
10
Moyo wangu unapigapiga, nguvu zangu zimeniishia; hata macho yangu yametiwa giza.