Skip to content
Zaburi 38:8-10

Zaburi 38:8-10

8
Nimedhoofika na kupondwa kabisa, nasononeka kwa maumivu makuu ya moyoni.
9
Ee Bwana, yote ninayoyaonea shauku yako wazi mbele zako, kutamani kwangu sana hakufichiki mbele zako.
10
Moyo wangu unapigapiga, nguvu zangu zimeniishia; hata macho yangu yametiwa giza.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options