Skip to content
Zaburi 38:7-8

Zaburi 38:7-8

7
Viuno vyangu vimejaa maumivu yaunguzayo, hakuna afya mwilini mwangu.
8
Nimedhoofika na kupondwa kabisa, nasononeka kwa maumivu makuu ya moyoni.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options