Zaburi 38:3-5
3
Hakuna afya mwilini mwangu kwa sababu ya ghadhabu yako, mifupa yangu haina uzima kwa sababu ya dhambi zangu.
4
Maovu yangu yamenifunika kama mzigo usiochukulika.
5
Majeraha yangu yameoza na yananuka, kwa sababu ya upumbavu wa dhambi zangu.