Skip to content
Zaburi 38:12-13

Zaburi 38:12-13

12
Wale wanaotafuta uhai wangu wanatega mitego yao, wale ambao wangetaka kunidhuru huongea juu ya maangamizi yangu; hufanya shauri la hila mchana kutwa.
13
Mimi ni kama mtu kiziwi, asiyeweza kusikia, ni kama bubu, asiyeweza kufungua kinywa chake,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options