Skip to content
Zaburi 37:18-19

Zaburi 37:18-19

18
Bwana anazifahamu siku za wanyofu, na urithi wao utadumu milele.
19
Siku za maafa hawatanyauka, siku za njaa watafurahia wingi wa vitu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options