Skip to content
Zaburi 37:14-15

Zaburi 37:14-15

14
Waovu huchomoa upanga na kupinda upinde, ili wawaangushe maskini na wahitaji, kuwachinja wale ambao njia zao ni nyofu.
15
Lakini panga zao zitachoma mioyo yao wenyewe, na pinde zao zitavunjwa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options