Skip to content
Zaburi 37:12-13

Zaburi 37:12-13

12
Waovu hula njama dhidi ya wenye haki na kuwasagia meno,
13
bali Bwana huwacheka waovu, kwa sababu anajua siku yao inakuja.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options