Zaburi 36:7-9
7
Upendo wako usiokoma ni wa thamani mno! Watu wakuu na wadogo hujificha uvulini wa mbawa zako.
8
Wanajifurahisha katika wingi nyumbani mwako, nawe utawanywesha katika mto wa furaha zako.
9
Kuwa pamoja nawe ni kijito cha uzima, katika nuru yako twaona nuru.