Skip to content
Zaburi 36:5-6

Zaburi 36:5-6

5
Upendo wako, Ee Bwana, unafika hadi mbinguni, uaminifu wako hadi kwenye anga.
6
Haki yako ni kama milima mikubwa, hukumu zako ni kama kilindi kikuu. Ee Bwana, wewe huwahifadhi mwanadamu na mnyama.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options