Zaburi 35:9-10
9
Ndipo nafsi yangu itashangilia katika Bwana na kuufurahia wokovu wake.
10
Nitapaza sauti yangu nikisema, “Ni nani aliye kama wewe, Ee Bwana? Wewe huwaokoa maskini kutokana na wale walio na nguvu kuliko wao, maskini na mhitaji kutokana na wanaowanyangʼanya!”