Skip to content
Zaburi 35:27-28

Zaburi 35:27-28

27
Wale wanaofurahia hukumu yangu ya haki wapige kelele za shangwe na furaha; hebu waseme siku zote, “Bwana atukuzwe, ambaye amefurahia mafanikio ya mtumishi wake.”
28
Ulimi wangu utanena haki yako na sifa zako mchana kutwa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options