Skip to content
Zaburi 35:2-3

Zaburi 35:2-3

2
Chukua ngao na kigao. Inuka unisaidie.
3
Inua mkuki wako na fumo lako dhidi ya hao wanaonifuatia. Iambie nafsi yangu, “Mimi ni wokovu wako.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options