Skip to content
Zaburi 34:4-6

Zaburi 34:4-6

4
Nilimtafuta Bwana naye akanijibu, akaniokoa kwenye hofu zangu zote.
5
Wale wamtazamao hutiwa nuru, nyuso zao hazifunikwi na aibu kamwe.
6
Maskini huyu alimwita Bwana, naye akamsikia, akamwokoa katika taabu zake zote.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options