Skip to content
Zaburi 34:17-19

Zaburi 34:17-19

17
Wenye haki hulia, naye Bwana huwasikia, huwaokoa katika taabu zao zote.
18
Bwana yu karibu na waliovunjika moyo, na huwaokoa waliopondeka roho.
19
Mwenye haki ana mateso mengi, lakini Bwana humwokoa nayo yote,
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options