Skip to content
Zaburi 34:15-16

Zaburi 34:15-16

15
Macho ya Bwana huwaelekea wenye haki, na masikio yake yako makini kusikiliza kilio chao.
16
Uso wa Bwana uko kinyume na watendao maovu, ili kufuta kumbukumbu lao duniani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options