Skip to content
Zaburi 34:13-16

Zaburi 34:13-16

13
basi auzuie ulimi wake na mabaya, na midomo yake kutokana na kusema uongo.
14
Aache uovu, atende mema, aitafute amani na kuifuatilia.
15
Macho ya Bwana huwaelekea wenye haki, na masikio yake yako makini kusikiliza kilio chao.
16
Uso wa Bwana uko kinyume na watendao maovu, ili kufuta kumbukumbu lao duniani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options