Skip to content
Zaburi 34:12-14

Zaburi 34:12-14

12
Yeyote kati yenu anayependa uzima na kutamani kuziona siku nyingi njema,
13
basi auzuie ulimi wake na mabaya, na midomo yake kutokana na kusema uongo.
14
Aache uovu, atende mema, aitafute amani na kuifuatilia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options