Skip to content
Zaburi 30:4-5

Zaburi 30:4-5

4
Mwimbieni Bwana, enyi watakatifu wake; lisifuni jina lake takatifu.
5
Kwa maana hasira yake ni ya muda mfupi, bali upendo wake hudumu siku zote. Inawezekana kilio kiwepo usiku kucha, lakini asubuhi kukawa na furaha.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options