Skip to content
Zaburi 30:2-3

Zaburi 30:2-3

2
Ee Bwana, Mungu wangu, nilikuita unisaidie na wewe umeniponya.
3
Ee Bwana, umenitoa Kuzimu, umeniokoa nisishuke kwenye shimo la mauti.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options