Skip to content
Zaburi 25:6-7

Zaburi 25:6-7

6
Kumbuka, Ee Bwana, rehema zako kuu na upendo, kwa maana zimekuwepo tangu zamani.
7
Usizikumbuke dhambi za ujana wangu wala njia zangu za uasi, sawasawa na upendo wako unikumbuke, kwa maana wewe ni mwema, Ee Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options