Skip to content
Zaburi 25:6-7

Zaburi 25:6-7

6
Kumbuka, Ee Bwana, rehema zako kuu na upendo, kwa maana zimekuwepo tangu zamani.
7
Usizikumbuke dhambi za ujana wangu wala njia zangu za uasi, sawasawa na upendo wako unikumbuke, kwa maana wewe ni mwema, Ee Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options