Skip to content
Zaburi 25:12-14

Zaburi 25:12-14

12
Ni nani basi, mtu yule anayemcha Bwana? Atamfundisha katika njia atakayoichagua kwa ajili yake.
13
Mtu huyo atafanikiwa maishani mwake, nao wazao wake watairithi nchi.
14
Siri ya Bwana iko kwa wale wamchao, yeye huwajulisha agano lake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options