Zaburi 25:12-14
12
Ni nani basi, mtu yule anayemcha Bwana? Atamfundisha katika njia atakayoichagua kwa ajili yake.
13
Mtu huyo atafanikiwa maishani mwake, nao wazao wake watairithi nchi.
14
Siri ya Bwana iko kwa wale wamchao, yeye huwajulisha agano lake.