Zaburi 25:1-3
1
Zaburi ya Daudi. Kwako wewe, Ee Bwana, nainua nafsi yangu,
2
ni wewe ninayekutumainia, Ee Mungu wangu. Usiniache niaibike, wala usiache adui zangu wakanishinda.
3
Kamwe hakuna hata mmoja anayekutegemea atakayeaibishwa, bali wataaibishwa wafanyao hila bila sababu.