Skip to content
Zaburi 23:1-4

Zaburi 23:1-4

1
Zaburi ya Daudi. Bwana ndiye mchungaji wangu, sitapungukiwa na kitu.
2
Hunilaza katika malisho ya majani mabichi, kando ya maji matulivu huniongoza,
3
hunihuisha nafsi yangu. Huniongoza katika njia za haki kwa ajili ya jina lake.
4
Hata kama nikipita katikati ya bonde la uvuli wa mauti, sitaogopa mabaya, kwa maana wewe upo pamoja nami; fimbo yako na mkongojo wako vyanifariji.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options