Skip to content
Zaburi 23:1-3

BWANA, Mchungaji Wangu Anayenipatia

Zaburi 23:1-3
1
Zaburi ya Daudi. Bwana ndiye mchungaji wangu, sitapungukiwa na kitu.
2
Hunilaza katika malisho ya majani mabichi, kando ya maji matulivu huniongoza,
3
hunihuisha nafsi yangu. Huniongoza katika njia za haki kwa ajili ya jina lake.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options