Zaburi 22:9-11
9
Hata hivyo ulinitoa tumboni, ukanifanya nikutegemee, hata nilipokuwa ninanyonya matiti ya mama yangu.
10
Nimekabidhiwa kwako tangu kuzaliwa, toka tumboni mwa mama yangu umekuwa Mungu wangu.
11
Usiwe mbali nami, kwa maana shida iko karibu na hakuna wa kunisaidia.