Zaburi 22:26-28
26
Maskini watakula na kushiba, wale wamtafutao Bwana watamsifu: mioyo yenu na iishi milele!
27
Miisho yote ya dunia itakumbuka na kumgeukia Bwana, nazo jamaa zote za mataifa watasujudu mbele zake,
28
kwa maana ufalme ni wa Bwana naye hutawala juu ya mataifa.