Skip to content
Zaburi 20:7-8

Kulitumaini Jina la Bwana

Zaburi 20:7-8
7
Wengine wanatumaini magari ya vita, na wengine farasi, bali sisi tutalitumainia jina la Bwana, Mungu wetu.
8
Wao wameshushwa chini na kuanguka, bali sisi tunainuka na kusimama imara.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options