Skip to content
Zaburi 20:4-5

Zaburi 20:4-5

4
Na akujalie haja ya moyo wako, na aifanikishe mipango yako yote.
5
Tutashangilia kwa furaha utakaposhinda, tutainua bendera zetu kwa jina la Mungu wetu. Bwana na akupe haja zako zote.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options