Перейти до вмісту
Zaburi 20:1-2

Zaburi 20:1-2

1
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Bwana na akujibu unapokuwa katika dhiki, jina la Mungu wa Yakobo na liwe kinga yako.
2
Na akutumie msaada kutoka patakatifu na akupatie msaada kutoka Sayuni.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options