Skip to content
Zaburi 20:1-2

Zaburi 20:1-2

1
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Bwana na akujibu unapokuwa katika dhiki, jina la Mungu wa Yakobo na liwe kinga yako.
2
Na akutumie msaada kutoka patakatifu na akupatie msaada kutoka Sayuni.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options