Skip to content
Zaburi 2:8-9

Zaburi 2:8-9

8
Niombe, nami nitayafanya mataifa kuwa urithi wako, miisho ya dunia kuwa milki yako.
9
Utawatawala kwa fimbo ya chuma na kuwavunjavunja kama chombo cha mfinyanzi.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options